bofya hapa ujionee

Monday 28 September 2015

HATIMAYE CHUO KIKUU CHA DODOMA -UDOM KIMETOA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO HICHO KWA MWAKA WA MASOMO 2015/2016-DEGREE


slide1Chuo kikuu cha DODOMA-UDOM  wametoa  rasmi  majina ya wanafunzi  wanaotakiwa kujiunga na chuo kikuu  hicho  kwa mwaka wa  masomo 2015/2016  UTUKUFUHUU   kama  kawaida  yetu tunakuletea
slide1 huduma ya kukuangalizia  majina ya /jina lako la ndugu na jamaa cha kufanya fuata yafuatayo

1.tuma jina lako kwenda namba 0768248512 mfano NYAU-BONGE(UDOM,UDSM,DUCE,MUCE,OPEN UNIVERSITY/DEGREE/DIPLOMA/CHETI
2. Huduma hii itakugharimu tsh-1000  ambayo utaituma kwa M-pesa/Tigo-pesa kwenda  0768248512/0673796095
3.Huduma  hii itakamilishwa kwa  dakika moja tu baada ya kutuma pesa
4.waambie pia ndugu na jamaa kwamba wasihangaike kujua mahali walipochaguliwa&join instruction
UDOM SELECTED STUDENTS 2015/2016 FIRST BATCH

No comments:

Post a Comment